Goma: Waziri wa elimu ya kiufundi nchini amekuja anzisha rasmi mtihani wa serkali Kivu maeneo ya Kivu

Waziri wa elimu ya kiufundi nchini DRC Antoinette KIPULU amewasili hii juma pili tarehe mosi agosti 2021 ili ya kuanzisha rasmi kazi za mutihani mashariki mwa DRC

Hii ni mara ya kwanza tangu elimu ya kiufundi uanzishwe nchini DRC . Akipokelewa na umati kwenyi uwanja wa ndege mjini Goma, anena pia kwamba atajielekeza jimboni Kivu ya kusini katika lengo lile.

Baada ya hapo vikartasi vya mutihani wa serkali vimefikishwa na ujumbe toka widhara ya elimu ya kiufundi tangu ijumaa mjini Goma.

Pamoja na hayo Emmanuel Gashamba inspekta mkuu jimboni katika sekta hiyo afahamisha kuwa ni wa kandideti elfu 1663 ndio wangojewa kwenyi mtihani.

Akiwaomba kujitahidi ili wafaulu vyeti vyao na waweze kufalpia ndani ya jamii kupitia kazi zao za mikono.

Juvénal Murhula

Soyez le premier à commenter

Poster un Commentaire