Moja wa wakilishi wa kundi mai mai PCP likiendesha kazi wilayani Uvira, Fizi na Mwenga amependekeza kukarabati vilalo vilivyo jengwa hapo awali. Akisisitiza kwamba serkali imeshindwa.
Tunakuja kwambia serkali kama sisi tunataka amani. Tunalenga amani ila serkali hapendi.
Poster un Commentaire
Vous devez vous connecter pour publier un commentaire.