
Kisa cha kujilipishia kisasi kimeripotiwa ijumaa tarehe 10 juni 2022 kwenyi Kijiji Ngangi ya tatu majira ya saa kumi za asubui, kando ya nji wa Goma, wilayani Nyiragongo Kivu ya kaskazini.
Prezidenti wa vijana Ngangi ya tatu anena ni kijana waumri wa miaka ishirini n’a nne ndiye alinaswa akiiba televisheni.
» Watu walimunasa n’a kumucoma ndani ya Kijiji Ngangi ya tatu, kando ya jumba Sainte Monique. Tunaomba raia kutojilipishia kisasi kwani wengi ni wahanga wasio n’a hatia », anena Prezidenti huyo wa vijana Ngangi ya tatu.
Kiongozi wa Kijiji hicho ahakikisha pia kitendo. Yeye alaumu kujilipishia kisasi kwa raia , akiwaomba kupeleka mshutumiwa mbele ya vyombo vya sheria. Na kwamba wengi hushutumia bila hatia. Kitendo hicho hakiruhusu serkali kufanya vema uchaguzi, kwani watenda maovu wengi hufichama moja kati yao anapouliwa , anena Kiongozi wa Kijiji Ngangi ya tatu.
Juvénal Murhula.
Poster un Commentaire
Vous devez vous connecter pour publier un commentaire.